en.news

Vittorio Messori Has Died

Catholic Italian author Vittorio Messori, 84, died on Good Friday in Desenzano, Italy.
One of his most influential works was The Ratzinger Report, which was based on an interview with Joseph Ratzinger conducted in 1984. The book evaluated the Church's condition following the Second Vatican Council.
Messori also collaborated with Pope John Paul II on the book Crossing the Threshold of Hope. In it, the Pope wrote that Jesus Christ is the unique Saviour of humanity and that Christianity contains the fullness of revealed truth.
Throughout his career, Messori was renowned for his loyalty to the Church, coupled with his intellectual independence.
#newsKlrgxiolhj

147
sw.cartoon

Francis Amelifanya Kanisa Mhali Pa Vita Na Uwanja Wa Michezo.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsYanurhijxw

111
sw.news

Udhibiti Utakaofuata Wa Vatikani?

Vatikani inaelekea kuidhibiti Jumuiya ya Heralds of the Gospel, jumuiya ya Haki za Kipapa ya Brazil iliyo na maelfu ya wanachama na ambayo imeenea katika mataifa 78, kulingana na Marco Tosatti kwenye mtandao wa lanuovabq.it. Sababu za udhibiti huo hazijabainika vizuri.
Tosatti anabainisha kuwa ni Vatikani huingilia kati jumuiya ambazo huunga mkono Katoliki, kukusanya miito na zilizo na rasilimali nyingi.
Picha: © Marie-Lan Nguyen, CC BY, #newsHebhtjrwut

103

The East is calling on Putin for help. Not trump!

First remember, it was trump who called Putin 3 weeks ago for help out of the mess he made. Yet didn't listen to him. Now they are turning to Putin to help end this madness that trump and bibi made.
Unfortunately, not even Putin can stop this. That is not what GOD wants. That is not His Will for peace. Not our time.
-------------
As the U.S.-Israel military campaign against Iran intensifies into a full regional crisis, Gulf and Arab capitals have abandoned Washington as their diplomatic anchor and are converging on Moscow — with Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman, Egyptian Foreign Minister Badr Abdelatty, and leaders from the UAE, Oman, and Turkey all reaching directly to Vladimir Putin in an unprecedented geopolitical realignment. Putin, positioning Russia as the region's sole credible stabilizer, has formally opened what the Kremlin is calling a coordinated mediation track — with spokesperson Dmitry Peskov confirming Russia stands ready to make its "strongest contribution" to …Zaidi

222
Catholic Parents OnLine

Examine Your Heart: Where Do You Resist?
The suffering of the Lord and the martyrs challenge the notion that God would never allow suffering. We must conform ourselves to God’s will, even when it contradicts our own desires, as exemplified by Jesus’ prayer in the garden. By examining our own betrayals and rebellions against God’s teachings, we can find grace and strength to embrace our crosses and follow Him.
Fr. Altier is a Priest at Holy Trinity Parish in South St. Paul: Home | Holy Trinity Parish
You can also find Fr. Robert Altier’s homilies and talks on:
catholicparents.org: Daily Homilies | Catholic Parents Online
Rumble: rumble.com/user/CatholicParentsOnLine
Twitter: x.com/CatholicPa42753
For access to a library of talks by Fr. Robert Altier, go to:
podia.com
To order Fr. Altier's book, God's Plan for Your Marriage, go to the website:
God's Plan For Your Marriage Book – God's Plan …
An Exploration of Holy Matrimony from Genesis to the Wedding of the Lamb by Father Robert …Zaidi

12:06
328
en.news ameshirikisha hii kutoka Joséphine Cyr

The Saint-Roch chapel in Lamure-sur-Azergues (Beaujolais, France) was vandalized on March 28. Reported damage includes broken stained-glass windows and damaged doors. The Saint-Martin church in Beaujeu, located about 15 km away, was also damaged in a separate act.

Lamure-sur-Azergues : la chapelle Saint-Roch vandalisée

00:31
3elfu 1
sw.cartoon

“Gaudete et Exsultate” Ya Francis Haina Chochote Ambacho Tayari Hajakisema Au Kukiandika.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsSqznercwtq

356
sw.news

Kanisa Labomolewa Kupisha Ujenzi Wa Egesho la Magari

Tangu tarehe 17 mwezi wa Julai, Kanisa la Mtakatifu Martin lililo Sablé-sur-Sarthe, nchini Ufaransa , limebomolewa. Kanisa hilo lilijengwa katika miaka ya 1880 na lilikufuriwa mnamo mwaka wa 2015. Meya wa mji huo alihalalisha ubomozi huo kwa sababu ya hali yake ya uharibifu. Mahala hapo patakuwa egezo la magari. Mnamo mwaka wa 1905 Kanisa zote za Ufaransa zilifanywa za kitaifa.
Sablé-sur-Sarthe ndiko alikozaliwa Padre Prosper Guéranger O.S.B., mwanzilishi wa Abisia maarufu ya Solesmes iliyo katika eneo hilo.
#newsGwyhvtatvy

76
Mazza La Ragazza

Sulaiman Ahmed @ShaykhSulaiman BREAKING: Iran's FM Araghchi on the Strait of Hormuz: It is not in international waters. It is the internal waters of Iran and Oman. The strait is currently open and is closed only to those who are at war with Iran. For many of them, especially those from friendly countries, we have put arrangements in place so they can pass through the strait safely. Some countries have passed through the strait after reaching an agreement with Iran. The Strait of Hormuz can be a waterway of peace, enabling the calm passage of ships from all countries. x.com/ShaykhSulaiman/status/2039345578287550503

01:04
1409
Lazarus Peter Kalamation.com

We will fight Iran till the last American

en.news ameshirikisha hii kutoka Lisi Sterndorfer

Synodality in Action: During the Holy Thursday liturgy, Bishop Michael Martin of Charlotte, North Carolina, delegated the foot-washing ritual to lay men and women. The Eucharist was at the Jesuits' church. Bishop Martin participated in the ritual himself, but he also allowed members of the laity to perform much of the optional Mandatum.

Brian Williams on Twitter: Meanwhile in Charlotte, Bishop Martin delegated the washing of feet on Holy Thursday to lay men and women. +Martin did participate to some degree, but at this Jesuit parish where he chose to celebrate Holy Thursday, the laity assumed the role of the clergy for much of the (optional) mandatum.

15elfu 4
Boanerges Boanerges

Jesus haters want to offend Him on His holy days

Agatha James

Ewww

sw.news

Francis Huenda Akatupilia Mbali Humanae Vitae

Roberto de Mattei amechapisha kwenye Corrispondenza Romana majina ya wanachama wa tume ya kisiri ambayo iliundwa na Papa Fancis, ili kutafsiri tena nakala ya Humanae Vitae (1968) ya Paul VI, ambayo hukataza mbinu bandia za kupanga uzazi.
Mratibu wa tume hiyo ni mwanateolojia wa maadili Monsignor Gilfredo Marengo (62), ambaye huunga mkono Amoris Laetitia, ambayo kulingana naye huhitilafiana na mafunzo ya Kanisa.
Wanachama wengine ni Monsignor Pierangelo Sequeri (72), mwanamuziki na rais wa Taasisi ya Roma ya John Paul II, Phelippe Chenaux (57), Mwanahistoria wa Roma, na Monsignor Angelo Maffeis (56), mwanateolojia wa kiekumenikali. Wote wanao mtizamo wa ulinganishaji.
Picha: © Mike Licht, CC BY , #newsXhanjdwgmp

142
sw.news

"Iwapo Kristo Aliwataka Makasisi Wa Kike, Angelimtawaza Mamake"

"Hakufai kuwa na mjadala zaidi juu ya suala la wanawake wanaotaka kuwa makasisi" kilingana na Askofu mkuu John Baptist Odama wa Gulu, nchini Uganda.
Wakati wa kutawazwa ka makasisi mjini Amuru mnamo tarehe 19 mwezi Agosti alisema kuwa "Iwapo Kristo aliwataka makasisi wa kike, angelimtawaza mamake, Maria, kwanza, lakini hakufanya hivyo." Aliongeza, "Nina ugomvi mwingi na wale ambao wanataka kuwe na makasisi wa kike. Suala hili linasababisha taharuki Kanisani."
Picha: © Austin Diocese, CC BY-NC, #newsNczsstnygd

122
sw.news

Francis: "Huenda Mtu Akadhani: Papa Huyu Ni Mzushi"

Akirejelea nakala katika basilika la Mtakatifu Mary Magdalen mjini Vézelay, nchini Ufaransa, Papa Francis alidokeza kuwa huenda Judas aliokolewa. Akizungumza na kituo cha Kikatoliki cha TV2000 aliongeza kuwa, "pengine mtu huenda akadhani kuwa, 'Papa huyu ni Mzushi'."
Kwenye nakala hii Judas amening'inia kwa upande mmoja huku upande mwingine akibebwa na "Mchungaji Mwema" aliyekuwa na tabasamu ambalo kulingana na Francis linaonekana "kuwa la kutiliwa shaka".
Kulingana na mtandao wa abasia la Vézelay ukweli ni kuwa Mchungaji Mwema wa Francis ni mtu asiyehusishwa na Kristo, ambaye anaibeba maiti ya Judas. Maneno ya Francis sasa yamechapishwa kama kitabu.
Picha: © Jim Forest, CC BY-NC-ND, #newsCeilzkosya

87
en.news ameshirikisha hii kutoka Cornelio Nino Morales

On Holy Thursday, Cardinal Luis José Rueda Aparicio of Bogotá, Colombia, washed the feet of homosexual prostitutes (“transgender sex workers”). This act mirrors similar gestures made by Pope Francis.

Arzobispo Primado de Colombia, monseñor Luis José Rueda, lavó los pies a un grupo de personas de la comunidad trans y de mujeres trabajadoras sexuales en el barrio Santa Fe, zona de tolerancia de Bogotá

01:29
48elfu 6
eva333

The false clergy love homosexual prostitutes

Father Karl A Claver

More proof the Church is rotting from the inside.

sw.news

Vatikani Imegeuka na kuwa Nchi ya Ufuatiliaji

Idadi ya udhibiti wa barua pepe,simu za mezani na pia hata simu za rununu kule Vatikani umefikia kiwango "ambacho chaweza kuonewa gere na Korea Kaskazini "kulingana na Marco Tosatti.
Akiandika katika blogu yake (mwezi wa Desemba tarehe ishirini na moja) Tosatti anaangazia kuwa wakati wa hotuba yake ya KrisimasiFrancis alitishia Curia kwa wazi. Kulingana na Tosatti maneno haya"haingekuwa tofauti kama yangekuwa yamenenwa miaka ya 1970 na Sekretari Mkomunisti wa Chama cha Kichina ".
Kwake Tosatti hio ni ishara kuwa kiwango cha kutokuwa sawa kwenye Curia umekua, isipokuwa na dicasteries za juu, sasa karibu kutajwa na Francis au kuitikiwa na utawala wake. Kwa hivyo, Francis lazima atumie vitisho wazi, "ambavyo havijawahi sikika kutoka kwa mdomo wa Mwakilishi wake Kristu ", Tosatti aandika.
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsNvqpfafpkb

111
en.news

Leo XIV’s Way of the Cross: Reflections on Social Injustice - Migration, Economy, and Politics

Franciscan Father Francesco Patton wrote the meditations for tonight's Stations of the Cross at the Colosseum in Rome with Pope Leo XIV. Fr Patton served as Custos of the Holy Land from 2016 to 2025.
On April 1, he told VaticanNews.va that the inspiration comes from "current reality" and that the meditations are meant to inspire political "change".
The Vatican press office published the text today. Traditionally a penitential and contemplative devotion, the Via Crucis is repurposed here as a vehicle for contemporary socio-political reflection.
The text shifts from the Passion of Christ to war, refugees, human trafficking, surveillance, deportation, the media, the economy, prisons, hostages, and crackdowns on protests. Notably absent, however, are abortion, euthanasia, and gender ideology.
One acclamation reads: "For migrants, the displaced, and refugees: Comfort us, O Mother."
In the first station, the meditation talks about political and economic power "to start or end a war… the power …Zaidi

8769
la verdad prevalece

Frank Walker: VIA LEOCRUCIS NOTABLY ABSENT, HOWEVER, ARE ABORTION, EUTHANASIA, AND GENDER IDEOLOGY”

eva333

Only someone who hasn't read A. C. Emmerich can pray or write this Via Crucis. Jesus in the Garden of Olives - A C Emmerich

sw.news

Uropa Inakumbwa Na Upungufu Wa Idadi Ya Watu

"Kusipochukuliwa hatua kwa haraka sana, Bara Uropa limo katika hatari ya upungufu mkuu wa idadi ya watu" kulingana na Antoine Renard, rais wa shirika la Federation of Catholic Family Associations mjini Brussels.
[Tayari ni wazi kuwa itikadi zinazotawala za vyama vingi dhidi ya familia hazitakubalisha kuchukuliwe hatua.]
Akizungumza na Catholic News Service (Aprili 19), Renard alitoa mwito kuwe na msaada wa kisiasa kuanzisha familia. Serikali zinastahili "kuweka familia katika kilele cha sera za kitaifa."
Muungano wa uropa ulikuwa na idadi ya uzazi ya 1,58 kwa kila mwanamke katika mwaka wa 2015. Kiwango cha ubadilishaji kingekuwa takriban uzazi wa 2.1 kwa kila mwanamke.
Wanasiasa waliofeli kama vile Angela Merkel hujaribu kuficha matokeo mabaya ya sera za familia kwa kuwaiba watu kutoka mataifa fukara, na kuyaondolea viijana wao na kusababisha janga la idadi ya watu huko pia.
Picha: © myri_bonnie, CC BY-NC-ND, #newsBadleqaodp

535
en.news ameshirikisha hii kutoka Virginie Fortin

"We have damaged the liturgy," said Cardinal Robert Sarah in a video interview with Le Figaro Idées (April 2). "It is too noisy. Too noisy. As if we were celebrating ourselves." He warned against reducing worship to mere "conviviality", insisting that a more sober liturgy celebrates the greatness of God. Cardinal Sarah also said: "Today, we practically never speak about salvation," and cautioned that "if the Church does not speak about the soul and what will happen to it after death, then it fails in its mission."

«L’Église a abimé la liturgie de la messe. Elle est trop bruyante ! C’est comme si on se célébrait nous-même. C’est devenu un moment convivial, alors que nous sommes là pour adorer Dieu, il faut une liturgie qui adore Dieu. On ne parle plus du salut et de l’âme !», se désole le cardinal Robert Sarah dans Le Club Le Figaro

01:52
12elfu 5
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

140